Karibu katika dira ya michezo kwa habari motomoto za michezo ya ndani na nje ya nchi
Karibu katika dira ya michezo

Saturday, October 6, 2012

YANGA, AFRICAN LYON KUTOVAA BEJI YA MDHAMINI


Boniface -Wambura-Afisa Habari-TFF

Kwa vile msimu huu mdhamini mwenyewe ndiye anayegawa vifaa kwa timu, Kamati ya Ligi imeagiza Vodacom iandikiwe barua na nakala kwa klabu zote ili kujua timu ambazo tayari zimekabidhiwa vifaa hivyo zikiwemo logo na siku ambapo timu husika zilipokea.

KIKOSI CHA YANGA

Baada ya majibu ya Vodacom ndipo Kanuni za Ligi Kuu zitakapotumika kutoka adhabu kwa timu ambazo zitabainika kuwa zilipokea vifaa lakini hazikuvitumia.

KIKOSI CHA AFRIKA LYON



https://mail.google.com/mail/images/cleardot.gif

No comments:

Post a Comment