![]() |
Leodegar Tenga |
Raisi wa shirikisho la mpra wa miguu nchin Tanzania amewataka mashabiki wa klabu za Simba na Yanga kuwa watulivu ilikuepusha uvunjifu wa amani katika mchezo utakaochezwa jumatano hii majira ya saa moja usiku. Huku akizitaka timu zote mbili kuonesha mchezo mzuri wenye kuvutia ilikuwapa raha mashabiki wao ndani na nje ya Tanzania
Ninfuraha kubwa kuwa sehemu ya mchezo huu wenye ushindani mkubwa katika bara hili la Afrika na ninatumain ya kwamba mchezo huu utaitangaza nchi yetu. Simba na yanga ni timu zenye upinzani mkubwa na zina washabiki katika kila kona ya Tanzania na wapenzi wa klabu hizi wanategemea kuona mpira mzuri, Amesema Tenga.Mchezo wa samba dhidi ya Yanga unatarajiwa kuwa mkali na wakusisimua huku Yanga wakiwa na deni la kurudisha goli tano walizofungwa katika msimu wa mwaka jana.
Yanga wakiwa wanawaza hivyo nayo klabu ya Simba yenyewe inawaza kuendeleza uteja wa kuwafungwa vijana hao wa jangwani.katika kuelekea mchezo huo samba itawakosa wachezaji wake kina Emmanueli Okwi,Emily Mafutah pamoja na haruna moshi bobani.
|
|
Emmanuel Okwi. |

No comments:
Post a Comment