Karibu katika dira ya michezo kwa habari motomoto za michezo ya ndani na nje ya nchi
Karibu katika dira ya michezo

Thursday, October 25, 2012

MORINHO:BAADHI YA MAKUNDI LIGI YA MABINGWA ULAYA NI VIBONDE

JOSE MORINHO
Mreno jose morinho mara baada ya kushuudia timu yake ikiondoka uwanjani signal iduna park kwa kichapo cha goli 2 -1  kocha huyo mwenye maneno mengi  amesema baadhi ya makundi katika michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya kuwa ni makundi yasio magumu(joke)


Morinho ambaye yuko katika kundi linalosadikiwa kuwa ni kundi gumu kuliko yote  likiwa na timu kama vile mabingwa wa ujerumni Borussia Dortimundi,Ajax pamoja na timu ya manchester city ambao wameonekana kuwa ndo vibonde wa kundi hilo amesema kwamba

   “Hili ndo kundi gumu kuliko yote.kuna baadhi yao si magumu kama vile kundi lenye timu ya  BATE Borisov  ya nchini Beralus”.

Akielezea nafasi ya timu yake kusonga mbele katika kundi hilo morinho amesema  bado kuna nafasi kwa kila timu ila kilichopo kwa sasa ni kujianda kwa ajiri ya mechi za marudiano

No comments:

Post a Comment