![]() |
kocha-Herve RenardKocha wa timu ya taifa ya Zambia mfaransa Herve Renard ameshangazwa na kitendo cha timu ya taifa ya Kenya Harambee stars kumteuwa mfaransa mwenzake Henry Michel kama kocha mkuu wa timu hiyoKocha huyo amesema Henry Michel si chaguo sahihi kwa timu ya taifa ya Kenya kwani ni vema kwa timu ya taifa ya kenya kupata kocha ambaye ataendana na wachezaji ikiwemo kuwapa hamasa ya kucheza mpira“Kenya ina kila kitu lakini nafikiria ya kwamba imekosea kuchagua kocha ambaye hana atauwezo wa kuisaidia timu kwani Henry Michel rekodi yake ni mbaya hivyo kenya inahitaji kocha ambaye anauwezo mkubwa wa kufundisha na sio Henry”,Alisema kocha Herve Renard.Herve Renard ni kocha mwenye mafanikio makubwa katika timu ya taifa ya Zambia kwani amefanikiwa kutwaa kombe la mataifa ya afrika maarufu kama (AFCON) mwaka huu wa 2012 akiifunga timu ya taifa ya ivory cost kwa mikwaju ya penaiti,pia kocha huyo amefanikiwa tena kuipeleka Zambia katika michuano hiyo itakayofanyika huko nchini Afrika kusini mapema mwakani |
Karibu katika dira ya michezo kwa habari motomoto za michezo ya ndani na nje ya nchi
Karibu katika dira ya michezo
Tuesday, October 30, 2012
kocha wa timu ya taifa ya zambia Herve Renard amesikitishwa na kitendo cha timu ya taifa ya kenya kumteuwa Henry Michel kama kocha wa timu ya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment