Shirikisho la mpira wa miguu baran afrika CAF limetangaza majina ya wachezaji 34 watakao wania tuzo ya mchezaji bora AFRIKA wa mwaka 2012 ambapo kura hizo zitapigwa huko nchin Ghana ifikapo mwezi wa 12 huku Zambia na ghana zikitoa wacheza zaidi ya mmoja kuwania tuzo hiyo.
Emanueli Mayuka-Zambia nation team |
Wachezaji wa Zambia waliotajwa kuwania tuzo hiyo ni emmanueli mayuka,stopila sunzu, Christopher katongo na rainfortd kalaba Na kwa upande wa Ghana wachezaji waliotajwa ni Andre ayew anayecheza marseile pamoja na emmanueli Agyeman badu wa udinese
Andre Ayew-Ghana nation team |
Baadhi ya Majina mengine ni mchezaji wa zamani wa chalsea didie drogba wa ivory cost,emmanul clottey na haarrison afful wote kutoka Ghana
Didier Drogba-Ivory cost |
No comments:
Post a Comment