Karibu katika dira ya michezo kwa habari motomoto za michezo ya ndani na nje ya nchi
Karibu katika dira ya michezo

Wednesday, October 3, 2012

Siondoki Real madrid..! Jose morinho


UEFA Champions League; Jose Mourinho; Real Madrid Vs Manchester City FC

kocha Jose Morinho

Kocha  wa mabingwa wa ligi kuu ya uhisipania Mreno Jose morinho  amesema  hana mpango wa kuondoka katika klabu hiyo mpaka makataba  wake utakapoisha ifikapo  mwaka 2016.
Mreno huyo ambaye miezi kadhaa alipendekeza  kuitwa  The special one amesema kwa sasa hafikri kabisa kwan alisain mkataba  wa kuwa anataka kuifundisha klabu hiyo

Ikumbukwe kumekuwa na uvumi  kuwa  kocha huyo anataka  kurejea  nchin uingereza huku tayari klabu kadha zikionesha niya  ya kumtaka moja wapo ni klabu ya Manchester united ambayo tayari kocha wake amekwisha kutangaza majina ya makocha watakao mirithi huku moja ya  majina hayo ni Jose Morinho.


No comments:

Post a Comment