Karibu katika dira ya michezo kwa habari motomoto za michezo ya ndani na nje ya nchi
Karibu katika dira ya michezo

Wednesday, October 3, 2012

Roberto mancini: Manchester city itaanza kushinda hivi karibuni.



Roberto Mancini: Backing Manchester City to win the UEFA Champions League at some stage in the near future

kocha Roberto Mancini

kocha wa mabingwa ligi kuu nchin uingereza  Roberto Mancini  amesema kuwa klabu  yake ya Manchester  city itaanza kushinda hivi karibuni  licha ya kuanza vibaya kwa mchezo wake wa kwanza walipolazwa  goli 3-2 na mabingwa wa uhisipania klabu ya real Madrid.
Pia kocha huyo amesema kuwa kundi lake ni kundi gumu linalokutanisha  mabingwa  wa ligi ya uholanzi klabu ya Ajax,Borussia  Dortmundi pamoja klabu ya Real madridi.


No comments:

Post a Comment