kikosi cha Azam |
Klabu ya Azama maarufu kama wanaramba ramba imetangaza rasimi kumfukuza kocha wake Boris Bunjak kufutia matokeo mabaya katika michuano ya ligi kuu Tanzania bara
Kwa mujibu wa Afisa habari wa klabu hiyo Patrick Kahemela amesema ni kweli kocha huyo amerushiwa virago kutokana na kuwa na matokeo mabaya ikiwemo hata kiwango kibovu kinachooneshwa na klabu hiyo kitu ambacho kinapelekea kupoteza kwa michezo yake na hivyo kujikuta klabu hiyo ikishuka hadi nafasi ya nne kutoka nafasi ya pili katika msimamo wa ligi kuu Tanzania bara
Boris-Bunjak |
No comments:
Post a Comment