![]() |
kocha Brandts akiwa Mazoezini na vijana wake.Kocha wa mabingwa wa kombe la kagame klabu ya Yanga Ernie Brandts amesema amefurahi kwa kufanikiwa kugawana pointi katika mchezo wake wa kwanza dhidi ya maasimu wao wakubwa klabu y simba .Brandts amesema mchezo huo ulikuwa wa kwanza kwake kwani zilikuwa zimepita takriban siku mbili hivi tangu akabiziwe jukumu la kuifundisha klabu hiyo na kuahidi kubadilisha kiufundi klabu hiyo katika siku zijazo. |
Karibu katika dira ya michezo kwa habari motomoto za michezo ya ndani na nje ya nchi
Karibu katika dira ya michezo
Thursday, October 4, 2012
Nitaibadilisha Yanga icheze mpira safi: Brandits.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment