Karibu katika dira ya michezo kwa habari motomoto za michezo ya ndani na nje ya nchi
Karibu katika dira ya michezo

Tuesday, October 30, 2012

Falcao: kwasasa sina mpango wa kuondoka Atletico madrid


Radamel-Falcao

Mshambuliaji mahili anayecheza  katika  klabu ya Atletico Madrid  mkolombia  Radamel Falcao   amesema  hafikirii  kuondoka   katika  klabu  hiyo  mara  baada ya kuisadia klabu yake  kupanda  hadi  nafasi ya pili  nyuma ya vinara wa ligi hiyo klabu ya Barcelona  
   "Kwasasa  Sina  mpango  wa kuondoka na wala sijawahi kufikiria  kutaka kuondoka", alisema Falcao ambaye anarekodi  nzuri ya upachikaji wa magoli kwani tangu kuanze kwa ligi ya nchini uhispania  falcao ameweza kufunga magoli 10 akiwa nyuma ya vinara wa upachikaji  magoli kin Lionel Messi mwenye magoli 13,Christiano Ronaldo akiwa na magoli 11.
Pia ikumbukwe siku kadhaa  zilizopita  kulikuwepo uvumi kuwa  mchezaji huyo anataka kujiunga  na mabingwa wa ligi hiyo klabu ya Real Madrid  ambayo inashika nafasi ya nne katika msimamo wa ligi hiyo

No comments:

Post a Comment