KAGERA SUGAR. |
Kwa kuanza hapa nyumbani kutakuwa na muendelezo wa mechi za ligi kuu Tanzania bara ambapo mchezo unatazamiwa kuwa mgumu ni kati ya Klabu yak ager sugar wao watakuwa nyumbani kaitaba kucheza na maafande Tanzania prison kutoka mbeya.
kIKOSI CHA ESPARANCE |
Mechi kali zitakazochezwa wikendi hii barani Afrika kutakuwa na fainali ya kwanza ya ligi ya mabingwa barani afrika ambapo klabu ya Al Ahly itakuwa nyumbani kuikaribisha klabu ya Esparance ya nchini Tunisia
| SAINT CAZORLA |
Uko barani ulaya kubwa zaidi ni mchezo kati ya klabu ya Manchester united watakao kuwa nyumbani Old Trafford kuwakaribisha washika bunduki wa jiji la London klabu ya Arsenal huku kukiwa na maswali je,washika bunduki hao watarudisha kipigo walichokipokea msimu wa mwaka jana cha goli 8-2
ROBIN VAN PERSIE. |
Mchezo huu unatazamiwa kuwa mgumu kwa pande.pamoja na hilo mashabiki wengi wa soka watakuwa wana hamu kubwa ya kumuona mshambuliaji mahili ambaye ukipita mtaani hususani kwa mashabiki wa Manchester upenda kumuita robini magoli kutokan na umahili wake wa kufumania nyavu,swali je atamfunga mlezi wake aliyemlea hadi kufikia hapo..? dakika 90 ndizo zitakazo toa majibu ya maswali yote.
LUIS SUAREZ |
No comments:
Post a Comment