Karibu katika dira ya michezo kwa habari motomoto za michezo ya ndani na nje ya nchi
Karibu katika dira ya michezo

Tuesday, November 6, 2012

Ramsey kuukosa mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Schalke 04.


Aaron  Ramsey


Kiungo wa klabu ya Arsenal ya nchini uingereza  Aaron Ramsey  atakosa mchezo wa ligi ya mabingwa  barani ulaya  pindi klabu yake itakapocheza na klabu ya  Schalke 04 ya nchini ujerumani  jumanne ya  wiki kutokana na kuwa majuruhi.

Ikumbukwe katika mchezo wa ligi kuu  ya nchini humo jumamosi ya wiki iliyopita dhidi ya Manchester united na kuambulia kichapo cha  goli 2-1  kiungo huyo  Ramsey alitolewa katika kipindi cha pili  na nafasi yake ikachukuliwa na mchezaji Johan Djourou.

No comments:

Post a Comment