![]() |
| kocha Jose morinho |
Kocha wa zaman wa mabingwa wa ligi kuu ya uingereza klabu ya chalsea Jose morinho ambaye kwa sasa
anaifundisha klabu ya real Madrid amesisitiza kuwa John terry si mbaguzi wa
rangi
Kauli hiyo ya Jose morinho imekuja
kufutia mchezaji huyo kupewa adhabu ya kutozwa paundi 220,000 na kufungiwa
mechi nne kwa kosa la ubaguzi wa rangi dhidi ya mchezi Anton ferdinandi wa QPR
![]() |
| John terry na Anton Ferdinand |
Kocha huyo amesema kuwa kwa kipindi chote alichotumikia klabu hiyo hakuwai kuona kitendo chochote cha ubaguzi
alichokifanya John terry dhidi ya wachezaji wenzake


No comments:
Post a Comment